KATIBU WA SIASA NA UENEZI CCM WILAYA YA ARUSHA NDG JASPER KISHUMBUA -KUSHOTO, AKISISITIZA JAMBO WAKATI AKIONGEA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA KATA NA MATAWI LEO, KATIKA UKUMBI WA SCANDIVIA KULIA NI MWENYEKITI WA CCM KATA YA LEVOLOSI NDG SANGITO SUMARI NA KAIMU KATIBU NA KATIBU WA SIASA NA UENEZI CCM KATA YA LEVOLOSI NDG ABUBAKAR NYANGU WAKISIKILIZA KWA MAKINI.
MUASISI WA CHAMA CHA MAPINDUZI MZEE MOHAMED KITANGA (aliyevaa miwani) PAMOJA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA KATA NA MATAWI WAKISILIZA KWA MAKINI NASAHA ZA KATIBU WA SIASA NA UENEZI WAKATI AKIONGEA NAO LEO.
NDG FATUMA ABDALLAH KATIBU WA UVCCM KATA YA LEVOLOSI (liyevaa kofia) AKIFUATIWA NA NDG AMINA MRISHO MJUMBE HALMASHAURI KUU YA WIALYA YA ARUSHA MARA BAADA YA KIKAO MARA BAADA YA KIKAO.
KUSHOTO- KULIA NI BAADHI YA VIONGOZI NDG RAHMA MSAFIRI KATIBU WA UWT NA KATIBU MWENEZI WA TAWI LA LEVOLOSI, NDG FATUMA ABDALLAH KATIBU WA UVCCM KATA YA LEVOLOSI (liyevaa kofia) AKIFUATIWA NA NDG AMINA MRISHO MJUMBE HALMASHAURI KUU YA WIALYA YA ARUSHA MARA BAADA YA KIKAO.