NAIBU WAZIRI PINDA AELEKEZA UENDELEZAJI MIJI KUZINGATIA MIPANGO KABAMBE

Na Munir Shemweta, WANMM Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geofrey Pinda amezielekeza Halmashauri zote nchini kuhakik...

Latest Post

MAKATIBU WA JUMUIYA ZA CCM JIJINI WAKIWAJIBIKA

Written By CCMdijitali on Saturday, August 16, 2014 | August 16, 2014

Viongozi wa Jumuiya za CCM wakiwa katika Ofisi zao Wilayani Arusha, katika kufanikisha kazi zao za kila siku, kama walivyokutwa na mpiga picha wetu.

Katibu wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Khimji akiwa tayari katika maeneo yake ya kazi za kila siku, katika Ofisi za Chama Jijini Arusha.

Katibu wa UWT Wilaya ya Arusha Ndg Fatuma Hassan , akiwa Ofisini kwake , tayari kuwajibika na majukumu ya kuwainua akina mama.

 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link