NAIBU WAZIRI PINDA AELEKEZA UENDELEZAJI MIJI KUZINGATIA MIPANGO KABAMBE

Na Munir Shemweta, WANMM Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geofrey Pinda amezielekeza Halmashauri zote nchini kuhakik...

Latest Post

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA TAFAKURI MARIDHIANO KUELEKEA KATIBA MPYA, JIJINI DAR LEO.

Written By CCMdijitali on Wednesday, February 12, 2014 | February 12, 2014

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi Kongamano la Tafakuri na Maridhiano kuelekea Katiba mpya, lililofanyika kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam, leo Feb 12, 2014 na kushirikisha Vyama vya Siasa, Makundi ya dini na Asasi za kiraia.  
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, baada ya kufunguliwa rasmi rasmi Kongamano la Tafakuri na Maridhiano kuelekea Katiba mpya, lililofanyika kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam, leo Feb 12, 2014 na kushirikisha Vyama vya Siasa, Makundi ya dini na Asasi za kiraia
 Picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano hilo. 
 
 Baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo.
 Baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo wakijadiliana jambo
 Meza Kuuu.
 Picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano hilo.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Bilal na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wakiagana na wajumbe walioshiriki Kongamano hilo baada ya ufunguzi uliofanyika kwenye Hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam leo Feb 12, 2014 na kushirikisha Vyama vya Siasa, Makundi ya dini na Asasi za kiraia.

President Kikwete meets British Foreign Secretary William Hague in London today

 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete meets British Foreign Secretary William Hague in his London office this evening. The two leaders then held talks on bilateral issues concerning their two countries.
 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete, British Foreign Secretary William Hague and Tanzania’s Minister for Foreign Relations and International Cooperation Bernard Membe pose for a photograph shortly after they met Mr.Hague in his London office this evening.President Kikwete is in London to attend the London Conference on Illegal Wildlife Trade
 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete with British Foreign Secretary William Hague in London  this evening after the  two leaders  held talks on bilateral issues concerning their two countries. Photos by Fred Maro

KAMATI KUU YATEUA MGOMBEA WA CCM KALENGA

Written By CCMdijitali on Tuesday, February 11, 2014 | February 11, 2014

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimtambulisha kwa waandishi wa habari, mgombea wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga, Iringa, Godfrey William Mgimwa (kushoto), leo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Nape amemtambulisha Godfrey ambaye ni mtoto wa Marehemu Dk. William Mgimwa, baada ya Kamati Kuu ya CCM kumpitisha, leo kuwania nafasi hiyo ya Ubunge. (Picha na Bashir Nkoromo).

KUMBI WA BUNGE LA KATIBA: Sekretarieti ya Bunge la Katiba kukabidhiwa Ukumbi Jumatano

Written By CCMdijitali on Monday, February 10, 2014 | February 10, 2014

Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda akijaribu mojawapo ya viti vipya vilivyofungwa katika ukumbi wa Bunge tayari kwa ajiri ya Matumizi wakati wa Bunge la Katiba. Mhe. Makinda aliongoza ujumbe wa Tume ya Utumishi wa Bnge kufanya ukaguzi wa mwisho kabla ukumbi huo haujakabidhiwa kwa Sekretariat ya Bunge la Katiba Jumatano wiki hii.
Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda akiwa na wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge kukagua ukumbi huo.
Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda, (katikati) Naibu Spika Mhe. Job Ndugai (kushoto), Katibu wa Bunge (Wa pili Kulia) na Mhe. Hamadi Rashid Mohamed Kulia wakiangalia baadhi ya maboresho yaliyofanywa katika Ukumbi wa Bunge kwa ajili ya Bunge la Katiba.

CHADEMA WALIPIZA KISASI KWA KUVUNJA MASHINA YA WAKEREKETWA YA CCM JIJINI ARUSHA BAADA YA MWENYEKITI WAO KUTIMKIA CCM - SOMBETINI

Written By CCMdijitali on Friday, February 7, 2014 | February 07, 2014


SHINA LA WAKEREKETWA LA KONA YA DARAJANI (CCM) LENYE WANACHAMA TAKRIBANI 152 BAADA YA KUVUNJWA NA BAADHI YA VIONGOZI WA CHADEMA USIKU WA 06/02/2014 KWENYE MTAA WA OSUNYAI, KATA YA SOMBETINI


SHINA LA WAKEREKETWA GODOWN (CCM) LENYE WANACHAMA TAKRIBANI 75 BAADA YA KUVUNJWA NA BAADHI YA VIONGOZI WA CHADEMA USIKU WA 06/02/2014 KWENYE MTAA WA SIMANJIRO, KATA YA SOMBETINI
SHINA LA WAKEREKETWA NGUSERO MWISHO WA HIACE (CCM) LENYE WANACHAMA TAKRIBANI 94 BAADA YA KUVUNJWA NA BAADHI YA VIONGOZI WA CHADEMA USIKU WA 06/02/2014 KWENYE MTAA WA OSUNYAI, KATA YA SOMBETINI

BAADHI YA WAKAZI WAKISHANGAA TUKIO HILO,LASHINA LA WAKEREKETWA NGUSERO MWISHO WA HIACE (CCM) LENYE WANACHAMA TAKRIBANI 94 BAADA YA KUVUNJWA NA BAADHI YA VIONGOZI WA CHADEMA USIKU WA 06/02/2014 KWENYE MTAA WA OSUNYAI, KATA YA SOMBETINI

ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CHADEMA ATOBOA SIRI ZA Chadema KWENYE MKUTANO WA CCM - ARUSHA















MGENI RASMI AMBAYE PIA NI MJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA (MNEC) WILAYA YA ARUSHA NDUGU GODFREY MWALUSAMBA AKIHUTUBIA WANACHAMA NA WAKAZI WA MTAA WA SIMANJIRO KWENYE MKUTANO WA KAMPENI YA UDIWANI KATIKA ENEO LA KIWANJA CHA NGUSERO MWISHO WA HIACE ,KATA YA SOMBETINI JIJINI ARUSHA





MWENYEKITI WA CHAMA CHA Chadema NDG MADAVA AKIWASIHI WAKAZI WA NGUSERO KUMCHAGU MWALIMU DAVID MOLLEL KUWA DIWANI WAO NA AKIWAELEZA WAKAZI HAO SABABU ZA KUHIHAMA Chadema,MARA BAADA YA KUJIVUA UONGOZI NA UANACHAMA WA Chadema KWENYE MKUTANO WA KAMPENI YA UDIWANI KATIKA ENEO LA VIWANJA VYA MWISHO WA HIACE ,MTAA WA OSUNYAI,KATA YA SOMBETINI JIJINI ARUSHA ,MBELE YA MGENI RASMI,MJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA (MNEC)WILAYA YA ARUSHA NDUGU GODFREY MWALUSAMBA

MWENYEKITI WA UVCCM WILAYA YA ARUSHA NDG MARTIN MUNISI AKIHUTUBIA WAKAZI NA WANACHAMA WA CCM MTAA WA OSUNYAI KWENYE MKUTANO WA KAMPENI YA UDIWANI KATIKA ENEO LA VIWANJA VYA MWISHO WA HIACE , MTAA WA OSUNYAI ,KATA YA SOMBETINI JIJINI ARUSHA
KATIBU WA CCM WILAYA YA ARUSHA NDG ELISANTE KIMARO AKIHUTUBIA WAKAZI NA WANACHAMA WA CCM MTAA WA OSUNYAI KWENYE MKUTANO WA KAMPENI YA UDIWANI KATIKA ENEO LA VIWANJA VYA MWISHO WA HIACE , KATA YA SOMBETINI JIJINI ARUSHA
KATIBU WA UWT MKOANI ARUSHA AKIHUTUBIA WAKAZI NA WANACHAMA WA CCM MTAA WA OSUNYAI KWENYE MKUTANO WA KAMPENI YA UDIWANI KATIKA ENEO LA VIWANJA VYA MWISHO WA HIACE , KATA YA SOMBETINI JIJINI ARUSHA
KATIBU WA UVCCM WILAYA YA GEITA NA MTOTO WA NYUMBANI NDG ODILIA AKIHUTUBIA WAKAZI NA WANACHAMA WA CCM MTAA WA OSUNYAI KWENYE MKUTANO WA KAMPENI YA UDIWANI KATIKA ENEO LA VIWANJA VYA MWISHO WA HIACE , MTAA WA OSUNYAI ,KATA YA SOMBETINI JIJINI ARUSHA
KATIBU WA UVCCM WILAYA YA KARATU NDG ALLY



KATIBU WA CCM MKOANI ARUSHA NA MBUNGE WA VITI MAALUM MAMA MARY CHATANDA AKIONGEA NA WAKAZI WA MTAA WA OSUNYAI KATIKA MKUTANO WA KAMPENI YA UDIWANI KATIKA ENEO LA VIWANJA VYA MWISHO WA HIACE ,KATA YA SOMBETINI JIJINI ARUSHA

MWENYEKITI WA CCM WILAYA YA ARUSHA NDG WILFRED SOILELI AKIMKARIBISHA MNEC NA MGENI RASMI NDG GODFREY MWALUSAMBA KUONGEA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI YA UDIWANI KATIKA ENEO LA VIWANJA VYA MWISHO WA HIACE ,KATA YA SOMBETINI JIJINI ARUSHA



VIONGOZI MBALI MBALI KWENYE MEZA KUU KWENYE MKUTANO WA KAMPENI YA UDIWANI KATIKA ENEO LA VIWANJA VYA MWISHO WA HIACE ,KATA YA SOMBETINI JIJINI ARUSHA





UMATI WA WAKAZI WA MTAA WA OSUNYAI WALIOJITOKEZA KWA WINGI KUSIKILIZA IALANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI KWENYE MKUTANO WA KAMPENI YA UDIWANI KATIKA ENEO LA VIWANJA VYA MWISHO WA HIACE ,KATA YA SOMBETINI JIJINI ARUSHA

 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link