NAIBU WAZIRI PINDA AELEKEZA UENDELEZAJI MIJI KUZINGATIA MIPANGO KABAMBE

Na Munir Shemweta, WANMM Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geofrey Pinda amezielekeza Halmashauri zote nchini kuhakik...

Latest Post

Balozi Seif Ali Iddi ajumuika na Watumishi na Wananchi wa Wilaya ya Magharibi”B” katika usafi wa mazingira

Written By CCMdijitali on Thursday, December 10, 2015 | December 10, 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akijuika pamoja na Watumishi na Wananchi wa Wilaya ya Magharibi”B” katika usafi wa mazingira kwenye mtaro wa maji ya Mvua uliopo Kwa Kira karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kusherehekea maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanganyika Tarehe 9 Disemba. 



Mgombea Ubunge wa CCM katika Viwanja vya St Thomas ,Kata ya Kati - Arusha

Written By CCMdijitali on Tuesday, December 8, 2015 | December 08, 2015

Kati
Baadhi ya wananchi wakisalimiana na Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Ndg Philemon Mollel maarufu kwa jina la MONABAN  mara baada ya mkutano wa Kampeni ya Ubunge Jijini Arusha katika Viwanja vya St Thomas, Kata ya Kati .
Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Ndg Philemon Mollel maarufu kwa jina la MONABAN akinadi Ilani ya Chama Cha Mapinduzi kwenye mkutano  wa Kampeni ya Ubunge Jijini Arusha  katika Viwanja vya St Thomas, Kata ya Kati .
Baadhi ya wananchi wakisalimiana na Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Ndg Philemon Mollel maarufu kwa jina la MONABAN mara baada ya mkutano wa Kampeni ya Ubunge Jijini Arusha katika Viwanja vya St Thomas, Kata ya Kati .
Team MONABAN katika picha ya pamoja.......
Ndg Bakari Msangi aliyegombea nafasi ya Udiwani Kaya ya Sombetini kwa bendera ya  Chama Cha Mapinduzi akiwa kwenye mkutano wa Kampeni ya Ubunge Kata ya Kati, kwenye Viwanja vya St Thomas,katika mkutano wa  Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Ndg Philemon Mollel maarufu kwa jina la MONABAN katika mkutano wa Kampeni ya Ubunge Jijini Arusha uliofanyika Viwanja vya St Thomas, Kata ya Kati .
Baadhi ya wananchi na  wanachama wa Chama Cha Mapinduzi waliojitokeza kwenye mkutano  wa Kampeni ya Ubunge Kata ya Kati, kwenye Viwanja vya St Thomas,wakimsikiliza Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Ndg Philemon Mollel maarufu kwa jina la MONABAN katika mkutano wa Kampeni ya Ubunge Jijini Arusha uliofanyika  Viwanja vya St Thomas, Kata ya Kati .
Katibu wa CCM Wilaya ya Arusha Ndg Ferooz Bano (aliyevaa shati la kijani) akifuatilia hotuba ya Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Ndg Philemon Mollel maarufu kwa jina la MONABAN katika mkutano wa Kampeni ya Ubunge Jijini Arusha uliofanyika Viwanja vya St Thomas, Kata ya Kati .

Hapa Kazi Tu !


Katibu wa CCM Wilaya ya Arusha Ndg Banoakimuombea kura Mbunge Mteule wa CCM Wilaya ya Arusha  , kwenye mkutano wa Kampeni ya Ubunge Jijini Arusha katika Viwanja vya St Thomas, Kata ya Kati .

Baadhi ya wananchi wakisalimiana na Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Ndg Philemon Mollel maarufu kwa jina la MONABAN mara baada ya mkutano wa Kampeni ya Ubunge Jijini Arusha katika Viwanja vya St Thomas, Kata ya Kati .
Baada ya Mkutano.......
Baadhi ya wananchi wakisalimiana na Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Ndg Philemon Mollel maarufu kwa jina la MONABAN mara baada ya mkutano wa Kampeni ya Ubunge Jijini Arusha katika Viwanja vya St Thomas, Kata ya Kati .


Baadhi ya wananchi wakisalimiana na Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Ndg Philemon Mollel maarufu kwa jina la MONABAN mara baada ya mkutano wa Kampeni ya Ubunge Jijini Arusha katika Viwanja vya St Thomas, Kata ya Kati .
Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Ndg Philemon Mollel maarufu kwa jina la MONABAN ,akiondoka kwenye mkutano wa Kampeni ya Ubunge Jijini Arusha katika Viwanja vya St Thomas, Kata ya Kati mara baada ya mkutano huo .

Hapa Kazi Tu! ....... Ndg Simba katika ubora wa viwango vyake katika gari ya matangazo
katika  mkutano wa Kampeni ya Ubunge Jijini Arusha katika Viwanja vya St Thomas, Kata ya Kati .
Picha zote na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha - Jasper Kishumbua

Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha (CCM ) apokelewa kwa kishindo Kata ya Sokon I

Written By CCMdijitali on Tuesday, December 1, 2015 | December 01, 2015


Mgombea Ubunge ,kupitia Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Arusha Ndg Philemon Olais Mollel, akiongea wakazi wa Kata ya Sokon I katika viwanja vya Mnara wa Voda 22/11/2015
Katibu wa CCM Wilaya ya Karatu Ndg Loth Lemeirut, akiwa katika Ofisi ya Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha.
Katibu wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg jamal Khimji, akiwa katika Ofisi ya Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha.



Mgombea Ubunge ,kupitia Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Arusha Ndg Philemon Olais Mollel, akiongea wakazi wa Kata ya Sokon I katika viwanja vya Mnara wa Voda 22/11/2015
Baadhi ya viongozi wa Chama wakimsikiliza Mgombea Ubunge ,kupitia Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Arusha Ndg Philemon Olais Mollel, akiongea wakazi wa Kata ya Sokon I katika viwanja vya Mnara wa Voda 22/11/2015
Mgombea Ubunge ,kupitia Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Arusha Ndg Philemon Olais Mollel, akiongea wakazi wa Kata ya Sokon I katika viwanja vya Mnara wa Voda 22/11/2015
Hapa Kazi Tu ...............



Baadhi ya Wananchi wakishindwa kuficha hisia zao katika Mkutano wa  Mgombea Ubunge ,kupitia Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Arusha Ndg Philemon Olais Mollel,wakati akiongea na  wakazi wa Kata ya Sokon I katika viwanja vya Mnara wa Voda 22/11/2015


CCM mbele kwa mbeleeeeeeeeee........

Umati wa watu waliofika katika Mkutano wa Mgombea Ubunge ,kupitia Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Arusha Ndg Philemon Olais Mollel, akiongea wakazi wa Kata ya Sokon I katika viwanja vya Mnara wa Voda 22/11/2015




Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha Ndg Jasper Kishumbua (aliyevaa kofia) akifuatilia mkutano wa kampeni ya Mgombea Ubunge ,kupitia Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Arusha Ndg Philemon Olais Mollel, akiongea wakazi wa Kata ya Sokon I katika viwanja vya Mnara wa Voda 22/11/2015






Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa Ndg Godfrey Mwalusamba akifuatilia jambo katika mkutano wa Mgombea Ubunge ,kupitia Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Arusha Ndg Philemon Olais Mollel, akiongea wakazi wa Kata ya Sokon I katika viwanja vya Mnara wa Voda 22/11/2015

Mgombea Ubunge ,kupitia Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Arusha Ndg Philemon Olais Mollel, akisalimiana na baadhi ya  wakazi wa Kata ya Sokon I mara baada ya mkutano katika viwanja vya Mnara wa Voda 22/11/2015
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link