Rais Mh. Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi mpya Dkt. Luigi Scotto (Kulia) kutoka Italia katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu- Dar es Salaam.
Picha zote na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.
#Kaziiendelee
Kaulimbiu | Desemba 09,2016“Tuunge mkono jitihada za kupinga rushwa na ufisadi na tuimarishe uchumi wa viwanda kwa maendeleo yetu.”
Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara