Home » » Yanga 2-3 Azam

Yanga 2-3 Azam

Written By CCMdijitali on Monday, September 23, 2013 | September 23, 2013

  http://3.bp.blogspot.com/-J_QTlRa4qcA/Uj8hj8fmTMI/AAAAAAAAy8s/kTMrFYoSgZc/s1600/1.JPG
Mshambuliaji wa Yanga, Hamisi Kiiza akichuana na beki wa Azam FC, Waziri Salum (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 3-2.
http://4.bp.blogspot.com/--KPhJn-JpQk/Uj8hk8O2OUI/AAAAAAAAy80/mNUQWOF75wY/s1600/2.JPG Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu (kushoto) akioneshana ubabe na beki wa Azam Fc, Kipre Balou katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Azam imeshinda bao 3-2.
http://2.bp.blogspot.com/-5u7P2-WiJBc/Uj8iW54bxVI/AAAAAAAAy88/1NRyQtM5o2c/s1600/IMG_3605.JPGWachezaji wa Azam FC wakishangilia bao la tatu la timu yao. (Picha zote na Francis Dande).
Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link