Home » » JK azindua Shule ya Sekondari ya Miono, Bagamoyo

JK azindua Shule ya Sekondari ya Miono, Bagamoyo

Written By CCMdijitali on Thursday, October 10, 2013 | October 10, 2013

http://4.bp.blogspot.com/-v-L_4CRpOLU/UlZhm9_XAoI/AAAAAAAE0BE/GGLTGF5M5lw/s1600/D92A6377.jpg
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuizindua rasmi shule ya sekondari ya Miono iliyopo Wilayani Bagamoyo, akishuhudiwa na  Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mhe Philipo MulugoRais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi Mkoa wa Pwani.
 http://3.bp.blogspot.com/-qnoN6yU6etc/UlZh3mFdW7I/AAAAAAAE0BQ/IpKFNokArfE/s1600/D92A6347.jpg
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua maktaba ya Shule ya Sekondari ya Miono Muda mfupi baada ya kuizindua shule hiyo jana Wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani
 http://2.bp.blogspot.com/-xKIoS-AAAgY/UlZhm3GGZ6I/AAAAAAAE0BA/kyGvp1OxBFI/s1600/D92A6311.jpg
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na  wanafunzi wa kidato cha tano wanaosoma Shule ya Sekondari ya Miono Wilayani Bagamoyo, Nyekwabi Jackline George,Penina Odara na Magret Machinyita wakitoa maelezo ya jaribio la sayani somo la biolojia wakati Rais alipofungua rasmi shule hiyo. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu
Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link