Home » » NDEREMO NA VIFIJO VYATAWALA JIJINI ARUSHA

NDEREMO NA VIFIJO VYATAWALA JIJINI ARUSHA

Written By CCMdijitali on Thursday, October 29, 2015 | October 29, 2015

Jiji  lazizima , mara baada ya matokeo ya Urais wa Jamhuri ya Tanzania kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi na kusababisha baadhi ya shughuli kwenye  Mitaa ya :
  • Idara ya Maji
  • Bondeni
  • Pangani 
  • Barabara ya Fire
  • Barabara ya Friends Corner kuelekea Samunge
kusimama kwa muda.
#Hapa Kazi Tu..... 
Hakuna Mchezo.... baadhi ya Mashabiki na Wakereketwa wakigufulika.......











#Hapa Kazi Tu.............




Chipukizi wa CCM Bi Asha Mfaume akifurahia ushindi wa Chama Cha Mapinduzi,katika Mtaa wa Bondeni leo (aliyeshika picha ya Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli)mara baada ya kutangazwa rasmi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa mshindi . 



 #Hapa Kazi Tu.......  
Katibu wa UVCCM Kata ya Sokon I ,Ndg Charles Kagoza ,akishindwa kuficha hisia zake........    


 Furaha na nderemo kila kona katika Jiji la Arusha leo.
Katibu wa UVCCM Kata ya Sokon I ,Ndg Charles Kagoza ,akishindwa kuficha hisia zake........  
Hapa Kazi Tu........
 Kada wa CCM na familia yake Ndg Hussein Maslahi  ,wakisherehekea ushindi wa Dr J.P.Magufuli ,mara baada ya Tume ya Uchaguzi ,kutangaza rasmi matokeo hayo leo.


 Umati wa Wanachama wa CCM kutoka baadhi ya Kata za Unga Ltd, Daraja II ,Sokon I, Ngarenaro na Kati ,wakishrehekea ushindi wa Dr J.P.Magufuli katika barabara ya Mtaa wa Bondeni Kata ya Kati  kuelekea barabara ya Stadium ,mara baada ya Tume ya Uchaguzi ,kutangaza rasmi matokeo hayo leo.





  Umati wa Wanachama wa CCM kutoka baadhi ya Kata za Unga Ltd, Daraja II ,Sokon I, Ngarenaro na Kati ,wakishrehekea ushindi wa Dr J.P.Magufuli katika barabara ya Idara ya Maji kuelekea barabara ya Sokoine ,mara baada ya Tume ya Uchaguzi ,kutangaza rasmi matokeo hayo leo.

 Kada maarufu Jijini na Mwenyekiti wa UVCCM Kata ya Sokon I Ndg Masalu,akipiga push up katikati ya barabara,baada ya kulitelekeza gari lake na abiria wakiwemo ndani ,kusherehekea ushindi wa Dr J.P.Magufuli ,mara baada ya Tume ya Uchaguzi ,kutangaza rasmi matokeo hayo leo.
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Martin Munissi ,aliyeshika bango ,akisherehekea ushindi wa Dr J.P.Magufuli ,mara baada ya Tume ya Uchaguzi ,kutangaza rasmi matokeo hayo leo.
 Wanachama wa CCM kutoka baadhi ya Kata za Unga Ltd, Daraja II ,Sokon I, Ngarenaro na Kati ,wakishrehekea ushindi wa Dr J.P.Magufuli katika barabara ya Friends kuelekea Samunge ,mara baada ya Tume ya Uchaguzi ,kutangaza rasmi matokeo hayo leo.
 Vijana nao hawakuwa nyuma kuonyesha furaha yao, wakiwa na picha ya Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli, katika maandamano yalifanyika kuzunguka baadhi ya barabara za Jiji la Arusha leo.
 Maeneo ya Mtaa wa Pangani ,nyumbani kwa Diwani wa CCM ndg A. Tojo
 Wanachama wa CCM kutoka baadhi ya Kata za Unga Ltd, Daraja II ,Sokon I, Ngarenaro na Kati ,wakishrehekea ushindi wa Dr J.P.Magufuli ,mara baada ya Tume ya Uchaguzi ,kutangaza rasmi matokeo hayo leo.
 Wanachama wa CCM Kata ya Kati ,wakishrehekea ushindi wa Dr J.P.Magufuli nyumbani kwa Diwani wa CCM Kata ya Kati Ndg Abdul Tojo.
Wanachama wa CCM  Kata ya Kati ,wakishrehekea ushindi wa Dr J.P.Magufuli nyumbani kwa Diwani wa CCM Kata ya Kati Ndg Abdul Tojo.
Picha zote na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha - Ndg Jasper Kishumbua


Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link