Home » » Mwenyekiti wa Chipukizi Kata ya Sekei awa kivutio kwenye Semina Kata ya Sekei,Jijini Arusha.

Mwenyekiti wa Chipukizi Kata ya Sekei awa kivutio kwenye Semina Kata ya Sekei,Jijini Arusha.

Written By CCMdijitali on Friday, April 29, 2016 | April 29, 2016

  • Awataka viongozi kufuatilia kwa karibu Utekelezaji wa Ilani ya CCM,kwa kupata za taarifa ya kila baada ya miezi mitatu.

  • Awataka Viongozi kufanya ziara za kutembelea miradi inayotekelezwa katika maeneo yao.

  • Awasihi viongozi kuwa karibu na Wananchi kwa kuwatembelea,kusikiliza kero zao na kuzitafutia majawabu.

  • Awataka Viongozi wote kutimiza Haki na Wajibu wa Mwanachama,Malengo na Madhumuni ya CCM na Masharti ya Uanachama

Mwenyekiti wa UVCCM Kata ya Sekei Ndg Said Abdul Said,Mwenyekiti wa Chipukizi Kata ya Sekei Bi Nasra ,Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha Ndg Jasper Kishumbua na baadhi ya viongozi wa UVCCM Kata ya Sekei,mara baada ya semina iliyofanyika 28/04/2016, kwenye ukumbi wa Ofisi ya CCM Kata ya Sekei.
Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha Ndg Jasper Kishumbua akitoa ufafanuzi wa Katiba ya CCM juu ya Haki na Wajibu wa Mwanachama wa CCM.

Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha Ndg Jasper Kishumbua akisisitiza jambo kwenye  ziara ya Kujenga Chama Kata ya Sekei 28/04/2016




Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha Ndg Jasper Kishumbua akiwataka Viongozi wa ngazi wa ngazi zote kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa kupata taarifa za kila baada ya miezi mitatu,kama inavyoelekezwa kwenye Ilani aliyoishika mkononi kwenye ziara ya Kujenga Chama Kata ya Sekei 28/04/2016
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Kata na Matawi ,Wajumbe wa Halmashauri Kuu za Matawi na baadhi ya Viongozi wa Mashina ya Wakereketwa,katika ziara ya Kujenga Chama iliyofanywa na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha ndani ya Jiji la Arusha 28/04/2016, kwenye ukumbi wa Ofisi ya CCM Kata ya Sekei.

Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Kata na Matawi ,Wajumbe wa Halmashauri Kuu za Matawi na baadhi ya Viongozi wa Mashina ya Wakereketwa,katika ziara ya Kujenga Chama iliyofanywa na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha ndani ya Jiji la Arusha 28/04/2016, kwenye ukumbi wa Ofisi ya CCM Kata ya Sekei.

Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Kata,wakifuatilia kwa makini.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Kata na Matawi ,Wajumbe wa Halmashauri Kuu za Matawi na baadhi ya Viongozi wa Mashina ya Wakereketwa,katika ziara ya Kujenga Chama iliyofanywa na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha ndani ya Jiji la Arusha 28/04/2016, kwenye ukumbi wa Ofisi ya CCM Kata ya Sekei.
Ndg Badi Mushi,Balozi akitoa neno la kushukuru na kupongeza Uongozi wa CCM Wilaya ya Arusha,kwa semina nzuri ya kujenga Uhai wa Chama.
Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Kata,wakifuatilia kwa makini.
Ndg Chifu Maswanya, akitoa neno la kushukuru na kupongeza Uongozi wa CCM Wilaya ya Arusha,kwa semina nzuri ya kujenga Uhai wa Chama.
Mwenyekiti wa CCM Kata ya Sekei Ndg Khalid Issa,akifungua kikao cha Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Kata na Matawi ,Wajumbe wa Halamashauri Kuu za Matawi na baadhi ya Viongozi wa Mashina ya Wakereketwa,katika ziara ya Kujenga Chama iliyofanywa na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha ndani ya Jiji la Arusha 28/04/2016, kwenye ukumbi wa Ofisi ya CCM Kata ya Sekei.

Mwenyekiti wa Chipukizi Kata ya Sekei Bi Nasra na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha Ndg Jasper Kishumbua ,mara baada ya semina iliyofanyika 28/04/2016, kwenye ukumbi wa Ofisi ya CCM Kata ya Sekei.
Mwenyekiti wa Chipukizi Kata ya Sekei Bi Nasra ,Kiongozi wa UVCCM Kata ya Sekei Ndg Godliving Kissilana Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha Ndg Jasper Kishumbua ,mara baada ya semina iliyofanyika 28/04/2016, kwenye ukumbi wa Ofisi ya CCM Kata ya Sekei.

Picha zote na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha / Ndg jasper Kishumbua
Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link