TANGAZO
WANANCHI WOTE WA JIJI LA ARUSHA
MNATANGAZIWA KWAMBA ,KUTAKUWA NA
MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA
MADIWANI UTAKAOFANYIKA TAREHE 05.09.2016
KWENYE UKUMBI WA ARUSHA SCHOOL KUANZIA
SAA NNE ASUBUHI. WOTE MNAKARIBISHWA.
IMETOLEWA NA:
MKURUGENZI
HALMASHAURI YA JIJI
ARUSHA.