Home » » KATIBU MKUU BW. YAKUBU AKUTANA NA VIONGOZI WA BENDI YA MLIMANI PARK

KATIBU MKUU BW. YAKUBU AKUTANA NA VIONGOZI WA BENDI YA MLIMANI PARK

Written By CCMdijitali on Wednesday, August 30, 2023 | August 30, 2023

KATIBU MKUU BW. YAKUBU AKUTANA NA VIONGOZI WA BENDI YA MLIMANI PARK

Katibu Mkuu wa wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na kikundi cha bendi ya Mlimani Park, kuhusu kushirikiana na wizara katika matukio mbalimbali ya Sekta ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Kikao hicho kimefanyika Agosti 30, 2023 katika ofisi za wizara zilizopo Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, ambapo wamejadiliana namna bora kikundi hicho cha muziki wa densi kinaweza kutumika kuelimisha jamii kupitia muziki huo katika matamasha mbalimbali nchini.
Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link