Juu wananchi waliojitokeza kwa wingi kumpokea mbunge wao Mhe Dkt Emmanuel Nchimbi leo mjini Songea. Chini Dkt Nchimbi akiongea na wapiga kura wake na amewashukuru sana kwa mapenzi waliyoonesha kwake baada ya kurejea kutoka Dar es salaam alikopata ajali ya kisiasa iliyomplekea kuwajibika kwa kujiuzuru nafasi yake ya waziri wa mambo ya ndani.
DK EMMANUEL NCHIMBI APATA MAPOKEZI MAKUBWA JIMBONI KWAKE.
Written By CCMdijitali on Friday, January 31, 2014 | January 31, 2014
Related Articles
- MAFUNZO NA KUPIMA AFYA KWA WATUMISHI WA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
- WAZIRI WA IRELAND AZURU TANGA AKUTANA NA DKT. BURIANI.
- WAZIRI MKUU AONGOZA MATEMBEZI HISANI NA UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TET
- TAASISI NA MASHIRIKA ZATAKIWA KUWAJIBIKA KUCHANGIA JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
- MAWAKALA WA VYAMA KIELELEZO CHA UWAZI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA
- RAIS MUSEVEN AKUTANA NA NAIBU WAZIRI MKUU WA TANZANIA
Labels:
KITAIFA,
National News
Post a Comment