Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimtambulisha kwa waandishi wa habari, mgombea wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga, Iringa, Godfrey William Mgimwa (kushoto), leo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Nape amemtambulisha Godfrey ambaye ni mtoto wa Marehemu Dk. William Mgimwa, baada ya Kamati Kuu ya CCM kumpitisha, leo kuwania nafasi hiyo ya Ubunge. (Picha na Bashir Nkoromo).
KAMATI KUU YATEUA MGOMBEA WA CCM KALENGA
Written By CCMdijitali on Tuesday, February 11, 2014 | February 11, 2014
Related Articles
- Balozi Seif Ali Iddi azindua rasmi Barabara ya pili ya Amani hadi Mtoni
- Rais KIKWETE atoa salamu za mwaka mpya 2015
- VIONGOZI WA CHADEMA IRINGA WAPELEKANA POLISI IRINGA
- Wanaobeza huduma ya umeme vijijini watakiwa kupuuzwa
- MH. LOWASSA AMTEMBELEA SUKWA SAID SUKWA,ZANZIBAR
- TAASISI YA JAKAYA MRISHO KIKWETE FOUNDATION NA NEXLAW WAUNGANA KUINUA WAJASIRIAMALI VIJANA TANZANIA
Labels:
KITAIFA,
National News
Post a Comment