Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Asili wa Ijumaa Micheweni Mjini Sheikh Haji Khatib Haji.
Balozi Seif akitoa Mkono wa Pole kwa Watoto na Wajukuu wa Muasisi wa Afro Shirazy Party Marehemu Bibi Ashura Abeid hapo Nyumbani kwa Tibirinzi Chake chake Pemba.
Balozi Seif akibadilishana mawazo na Mzee Khamis Mkadara Khamis wakati alipokwenda kumkagua na kumtakia kheir ya Mwaka Mpya wa 2015.
Mzee Bakari Khamis Kombo wa Kijiji cha Micheweni akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika kumjulia hali na kumtakia kheri ya mwaka mpya wa 2015.
Balozi Seif akimsalimia mzee Khamis Othman Kapona wa Kijiji cha Chekea Mtambwe alipokwenda kumtembelea na kujua hali yake pamoja na kumpa kheri ya mwaka mpya.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimtakia kheri ya mwaka mpya wa 2015 Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Jimbo la Micheweni Mzee Kombo Fundi Kombo wakati alipomtembelea na kujua hali yake.
Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.
Balozi Seif awatakia kheri ya mwaka mpya wazee hapa Nchini
Written By CCMdijitali on Tuesday, December 30, 2014 | December 30, 2014
Related Articles
- PPAA yawanoa wazabuni Kanda ya Kaskazini
- MAFUNZO NA KUPIMA AFYA KWA WATUMISHI WA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI
- WAZIRI WA IRELAND AZURU TANGA AKUTANA NA DKT. BURIANI.
- WAZIRI MKUU AONGOZA MATEMBEZI HISANI NA UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TET
- TAASISI NA MASHIRIKA ZATAKIWA KUWAJIBIKA KUCHANGIA JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
- MAWAKALA WA VYAMA KIELELEZO CHA UWAZI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA
Labels:
KITAIFA,
National News
Post a Comment