Home » , » Balozi Seif awatakia kheri ya mwaka mpya wazee hapa Nchini

Balozi Seif awatakia kheri ya mwaka mpya wazee hapa Nchini

Written By CCMdijitali on Tuesday, December 30, 2014 | December 30, 2014

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Asili wa Ijumaa Micheweni Mjini  Sheikh Haji Khatib Haji.
Balozi Seif akitoa Mkono wa Pole kwa Watoto na Wajukuu wa Muasisi wa Afro Shirazy Party Marehemu Bibi Ashura Abeid hapo Nyumbani kwa Tibirinzi Chake chake Pemba.
Balozi Seif akibadilishana mawazo na Mzee Khamis Mkadara Khamis wakati alipokwenda kumkagua na kumtakia kheir ya Mwaka Mpya wa 2015.
Mzee Bakari Khamis Kombo wa Kijiji cha  Micheweni akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika kumjulia hali na kumtakia kheri ya mwaka mpya wa 2015.
 Balozi Seif akimsalimia mzee  Khamis Othman Kapona wa Kijiji cha Chekea Mtambwe alipokwenda kumtembelea na kujua hali yake pamoja na kumpa kheri ya mwaka mpya.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimtakia kheri ya mwaka mpya wa 2015  Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Jimbo la Micheweni Mzee Kombo Fundi Kombo wakati alipomtembelea na kujua hali yake.

Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.
Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link