Home » » Viongozi wa Chama toka Wilaya ya Rungwe watinga Ofisi za CCM Wilaya ya Arusha leo.

Viongozi wa Chama toka Wilaya ya Rungwe watinga Ofisi za CCM Wilaya ya Arusha leo.

Written By CCMdijitali on Thursday, May 28, 2015 | May 28, 2015

Kaimu  Afisa wa Utumishi  Makao Makuu CCM Dodoma Ndg Kanuth B.Ndaghine katika  Ofisi ya Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilayani hapo,na waliosimama ni Katibu wa UWT Wilaya ya Arusha Bi Jane Nyari , Katibu wa CCM Wilaya ya Rungwe Bi Mariam H. Yussuf na Katibu wa Sisasa na Uenezi CCM  Wilaya ya Arusha Ndg Jasper Kishumbua, alipotembelea Ofisi za Wilaya ya Arusha leo.
 Kaimu  Afisa wa Utumishi  Makao Makuu CCM Dodoma Ndg Kanuth B.Ndaghine akisaini kitabu cha Chama Wilayani katika Ofisi ya Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilayani hapo,na  Katibu wa CCM Wilaya ya Rungwe Bi Mariam H. Yussuf  walipotembelea Ofisi za Wilaya leo.
 Kaimu  Afisa wa Utumishi  Makao Makuu CCM Dodoma Ndg Kanuth B.Ndaghine akisaini kitabu cha Chama Wilayani katika Ofisi ya Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilayani hapo,na waliosimama ni Katibu wa UWT Wilaya ya Arusha Bi Jane Nyari , Katibu wa CCM Wilaya ya Rungwe Bi Mariam H. Yussuf na Katibu wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Jamal Kihmji, alipotembelea Ofisi za Wilaya leo.
Kaimu  Afisa wa Utumishi  Makao Makuu CCM Dodoma Ndg Kanuth B.Ndaghine akisaini kitabu cha Chama Wilayani katika Ofisi ya Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilayani hapo,na waliosimama ni Katibu wa UWT Wilaya ya Arusha Bi Jane Nyari , Katibu wa CCM Wilaya ya Rungwe Bi Mariam H. Yussuf na Katibu wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Jamal Kihmji, alipotembelea Ofisi za Wilaya leo. 
 Katibu wa UWT Wilaya ya Arusha Bi Jane Nyari , Katibu wa CCM Wilaya ya Rungwe Bi Mariam H. Yussuf na Katibu wa Sisasa na Uenezi CCM  Wilaya ya Arusha Ndg Jasper Kishumbua, alipotembelea Ofisi za Wilaya ya Arusha leo. 
Kaimu  Afisa wa Utumishi  Makao Makuu CCM Dodoma Ndg Kanuth B.Ndaghine akisaini kitabu cha Chama Wilayani katika Ofisi ya Katibu wa Siasa na uenezi CCM Wilayani hapo, alipotembelea Ofisi za Wilaya leo.
 Katibu wa CCM Wilaya ya Rungwe Bi Mariam H. Yussuf akisaini kitabu cha Chama Wilayani katika Ofisi ya Katibu wa Siasa na uenezi CCM Wilayani hapo, alipotembelea Ofisi za Wilaya leo.
Kaimu  Afisa wa Utumishi  Makao Makuu CCM Dodoma Ndg Kanuth B.Ndaghine akiwa katika Ofisi za CCM Wilaya ya Arusha leo. 
 Katibu wa UWT Wilaya ya Arusha Bi Jane Nyari (katikati), Katibu wa WAZAZI Wilaya ya Meru Ndg Ladamuni E. Mollel  (aliyevaa kofia) akisaini kitabu cha wageni akishuhudiwa na Katibu wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Jamal Kihmji, katika Ofisi za Wilaya ya Arusha.
 Katibu wa UWT Wilaya ya Arusha Bi Jane Nyari (katikati), Katibu wa WAZAZI Wilaya ya Meru Ndg Ladamuni E. Mollel  (aliyevaa kofia) na Katibu wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Jamal Kihmji, katika Ofisi za Wilaya ya Arusha.
 Katibu wa WAZAZI Wilaya ya Meru Ndg Ladamuni E. Mollel, alipotembelea Ofisi za CCM Wilaya ya Arusha leo. 
Kaimu  Afisa wa Utumishi  Makao Makuu CCM Dodoma Ndg Kanuth B.Ndaghine akiwa katika Ofisi za CCM Wilaya ya Arusha leo. 
 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Rungwe Ndg Ally M. Mwakilinde akiteta jambo na Katibu wa CCM Wilaya ya Rungwe Bi Mariam H. Yussuf na kulia kabisa ni Katibu wa WAZAZI Wilaya ya Meru Ndg Ladamuni E. Mollel katika Ofisi  za CCM Wilayani Arusha leo
 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Rungwe Ndg Ally M. Mwakilinde akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi za Jumuiya za CCM Wilayani Arusha leo.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Rungwe Ndg Ally M. Mwakilinde akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi za Jumuiya za CCM Wilayani Arusha leo, akishuhudiwa na Katibu wa UWT Wilaya ya Arusha Bi Jane Nyari (kushoto), Katibu wa WAZAZI Wilaya ya Meru Ndg Ladamuni E. Mollel  aliyevaa kofia) na Katibu wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Jamal Kihmji.
Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link