Wabunge na Maseneta wa Bunge la Marekani wamuombea Rais Magufuli
Written By CCMdijitali on Saturday, February 20, 2016 | February 20, 2016
Wabunge na Maseneta wa Bunge la Marekani wakimuombea Rais Magufuli, ili aweze kufanya kazi zake vizuri walipotembelea ofisi za Spika wa Bunge kwa mazungumzo mafupi jana. Rais Magufuli siku zote amekuwa akisisitiza na kuomba wananchi wamuombee.
Related Articles
- WAZIRI MKUU AONGOZA MATEMBEZI HISANI NA UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TET
- TAASISI NA MASHIRIKA ZATAKIWA KUWAJIBIKA KUCHANGIA JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI
- MAWAKALA WA VYAMA KIELELEZO CHA UWAZI UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA
- TAASISI YA JAKAYA MRISHO KIKWETE FOUNDATION NA NEXLAW WAUNGANA KUINUA WAJASIRIAMALI VIJANA TANZANIA
- KUWEPO KWA AMANI, MSHIKAMANO NA UTULIVU NCHINI KUMECHOCHEA KUKUWA KWA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE KIJAMII, KISIASA, KIUCHUMI NA KITEKNOLOJIA - MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR
- PPAA yawanoa wazabuni Kanda ya Kaskazini
Labels:
KITAIFA