Home » » Mwenezi wa Jiji la Arusha ,atua Kata ya Sombetini,katika ziara ya Kujenga Chama.

Mwenezi wa Jiji la Arusha ,atua Kata ya Sombetini,katika ziara ya Kujenga Chama.

Written By CCMdijitali on Wednesday, April 27, 2016 | April 27, 2016

  • Awataka Viongozi wa ngazi zote kutimiza Wajibu mkubwa wa kufuatilia Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi kwa ngazi zao.
  • Awataka  wajiwekee ratiba za kutembelea na kukagua miradi inayotekelezwa katika maeneo yao na endapo watakuta utekelezaji una hitilafu,watoe taarifa kwa Viongozi wa Serekali ngazi ya juu yao.
  • Aidha aliwataka Viongozi hao kuongeza jitihada za kuwa karibu na Wananchi na kuwasemea na kuwatetea.
  • Pia aliwataka wafanye ziara na Mikutano baina ya Viongozi wa Chama na Wananchi ya kufafanua na kueleza fursa mbali zinazopatikana Serekalini
 Katibu Mwenezi CCM Wilaya ya Arusha,Ndg Kishumbua Jasper akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya CCM Kata ya Sombetini 26/04/2016
Mwenyekiti wa CCM Kata ya Sombetini Ndg Thomas Kivuyo ,akifungua  kikao cha Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Kata na Matawi ,Wajumbe wa Halamashauri Kuu za Matawi na baadhi ya Viongozi wa Mashina ya Wakereketwa,katika ziara ya Kujenga Chama inayofanywa na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha katika Kata zote 25 ndani ya Jiji la Arusha.  waendelea na ziara ya Kujenga Chama Kata ya Sombetini 26/04/2016
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Kata na Matawi ,Wajumbe wa Halamashauri Kuu za Matawi na baadhi ya Viongozi wa Mashina ya Wakereketwa,katika ziara ya Kujenga Chama inayofanywa na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha katika Kata zote 25 ndani ya Jiji la Arusha. waendelea na ziara ya Kujenga Chama Kata ya Sombetini 26/04/2016
Ndg Okoth ,Mwenyekiti wa Jumuiya ya WAZAZI Tawi la Sombetini akitoa neno la kushukuru na kupongeza Uongozi wa CCM Wilaya ya Arusha,kwa semina nzuri ya kujenga Uhai wa Chama.

Muasisi wa Chama Cha Mapinduzi katika picha ya pamoja na Kada wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Rahim - kwa jina maarufu Mgosi
Muasisi wa Chama Cha Mapinduzi katika picha ya pamoja , Katibu Mwenezi CCM Wilaya ya Arusha,Ndg Kishumbua Jasper (aliyechuchumaa) na Kaimu Katibu Kata Ndg William Kivuyo (Katibu wa Uchumi na Fedha Kata )
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Kata na Matawi ,Wajumbe wa Halamashauri Kuu za Matawi na baadhi ya Viongozi wa Mashina ya Wakereketwa,katika ziara ya Kujenga Chama inayofanywa na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha katika Kata zote 25 ndani ya Jiji la Arusha. waendelea na ziara ya Kujenga Chama Kata ya Sombetini 26/04/2016
Picha zote na Katibu wa Siasa na Uenezi Wilaya ya Arusha-Ndg Jasper Kishumbua
Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link