Home » » Viongozi wa Kata ya Unga Ltd katika Semina ya Kujenga Chama - Arusha

Viongozi wa Kata ya Unga Ltd katika Semina ya Kujenga Chama - Arusha

Written By CCMdijitali on Tuesday, April 26, 2016 | April 26, 2016


Katibu wa Siasa na Uenezi Wilaya ya Arusha Ndg Jasper Kishumbua , akiwafunda  Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Kata na Matawi ,Wajumbe wa Halamashauri Kuu za Matawi na baadhi ya Viongozi wa Mashina ya Wakereketwa,katika ziara ya Kujenga Chama.

Baadhi ya Viongozi wa Kata ya Unga ltd,Bi Sophia - Katibu wa Uchumi na Fedha Kata na Katibu wa Siasa na Uenezi Kata Bi Muhone, wakiwa katika kikao cha Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Kata na Matawi ,Wajumbe wa Halamashauri Kuu za Matawi na baadhi ya Viongozi wa Mashina ya Wakereketwa,katika ziara ya Kujenga Chama inayofanywa na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya Arusha katika  Kata zote 25 ndani ya Jiji la Arusha.
 Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Arusha,katika ziara ya Kujenga Chama ya Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha,anayoifanya Kata zote 25 ndani ya Jiji la Arusha,akiangalia jiwe la Msingi lililowekwa mwaka 02/02/1982 na aliyekuwa Katibu Mtendaji Mkuu wa CCM Taifa Marehemu Daudi Mwakawago, katika Ofisi ya CCM Kata ya Unga Ltd.
  Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha,katika ziara ya Kujenga Chama anayoifanya Kata zote 25 ndani ya Jiji la Arusha,akiangalia jiwe la Msingi lililowekwa mwaka 02/02/1982 na aliyekuwa Katibu  Mtendaji Mkuu wa CCM Taifa Marehemu Daudi Mwakawago, katika Ofisi ya CCM Kata ya Unga Ltd.
 Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Arusha,Ndg Musa Mkanga,katika ziara ya Kujenga Chama inayofanywa na  Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha, katika Ofisi ya CCM Kata ya Unga Ltd.

Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Martin Munisi ,akisaini kitabu cha Wageni katika Ofisi ya Tawi la Unga Ltd ,katika ziara ya Kujenga Chama inayofanywa na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha, katika Ofisi ya CCM Kata ya Unga Ltd.akishuhudiwa na Katibu wa CCM Tawi hilo.
Picha zote na katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha Ndg Jasper Kishumbua
Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link