Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akipokea maandamano ya Wafanyakazi mbali mbali wa Taasisi za Serikali na
Binafsi, wakipita mbele yake wakati wa sherehe za siku ya Wafanyakazi
Duniani katika viwanja vya Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja
leo. (Picha na Ikulu)
DK. SHEIN AONGOZA SIKU YA KILELE CHA SIKUKUU YA WAFANYAKAZI ZANZIBAR
Written By CCMdijitali on Monday, May 2, 2016 | May 02, 2016
Labels:
KITAIFA