Home » » WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AITEMBELEA FAMILIA YA MAREHEMU SKOINE- MONDULI JUU

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AITEMBELEA FAMILIA YA MAREHEMU SKOINE- MONDULI JUU

Written By CCMdijitali on Monday, December 5, 2016 | December 05, 2016


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na  Napono Sokoine (wapili kulia) na  Nekiteto Sokoine (kulia) ambao ni  wajane wa aliyekuwa Waziri Mkuu, Marehemu Edward Sokoine wakati aipokwenda nyumbani kwa marehemu, Monduli Juu kuisalimia familia akiwa katika ziara ya wialaya ya Monduli Desemba 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliekuwa Waziri Mkuu, Edward Sokoine wakati alipokwenda nyumbani kwa marehemu, Monduli Juu akiwa katika ziara ya wialya ya Monduli Desemba 4, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipokwenda nyumbani kwa  aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Sokoine, Monduli Juu kuisalimia familia akiwa aktika ziara ya wialya ya Monduli Desemba 4, 20, 16.  Kushoto kwake  wajane wa marehemu, Napono Sokoine (w pili kulia) na kulia ni  Nekiteto Sokoine . Kulia kwake  ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.(Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu)

Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link