Home » » MKUU WA MKOA WA TABORA AJUMUIKA NA WANAFUNZI WA SHULE SHIKIZI KUPANDA MITI WILAYANI SIKONGE

MKUU WA MKOA WA TABORA AJUMUIKA NA WANAFUNZI WA SHULE SHIKIZI KUPANDA MITI WILAYANI SIKONGE

Written By CCMdijitali on Wednesday, January 19, 2022 | January 19, 2022

 TABORA YA KIJANI INAWEZEKANA

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt Batilda Buriani akijumuika na mwanafunzi kuchimba shimo kwa ajili ya kuotesha kwenye  shule shikizi ya Gezaulole  Wilayani Sikonge.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt Batilda Buriani akijumuika na mwanafunzi wa  shule shikizi ya Gezaulolekwa kuotesha mti  Wilayani Sikonge.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Balozi Dkt Batilda Buriani akijumuika na mwanafunzi wa  shule shikizi ya Gezaulolekwa kuotesha mti  Wilayani Sikonge.





Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Balozi Batilda Burian jana tarehe 18 Januari, 2022 na Viongozi wa Wilaya ya Sikonge walijumuika na wanafunzi wa shule shikizi ya Gezaulole kupanda miti katika eneo la Shule hiyo iliyopo Wilayani Sikonge. Mkoa wa Tabora umejiwekea malengo ya kupanda miti milioni 12 kwa mwaka.



Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link