Home » » WATAALAMU WA SEKTA YA ARDHI NCHINI WATAKIWA KUWA WABUNIFU - KIKWETE NAIBU WAZIRI

WATAALAMU WA SEKTA YA ARDHI NCHINI WATAKIWA KUWA WABUNIFU - KIKWETE NAIBU WAZIRI

Written By CCMdijitali on Wednesday, January 19, 2022 | January 19, 2022

 Naibu waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Ridhiwani Kikwete (MB) amewaagiza Makamishina wa Ardhi kote wasaidizi wa Mikoa yote nchini kuhakikisha wanaweka vipimo vya utendaji kazi watumishi wa sekta ya ardhi kila baada ya mwezi mmoja ili kupima utendaji wao kwa lengo la kuleta tija katika sekta ya Ardhi 


Aidha aliwataka wataalamu wa sekta ya Ardhi nchini kuwa wabunifu sambamba na kutoa huduma bora na kwa wakati ili kusaidia serikali na wananchi kwa ujumla. #RK #kaziimeanza #ardhiyetuhakiyetu #matokeochanya


 




Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link