Home »
KITAIFA
» RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA BENKI YA AFRIKA - IKULU CHAMWINO
RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA BENKI YA AFRIKA - IKULU CHAMWINO
Rais
Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Rais wa Benki ya
Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina Ikulu Chamwino Mkoani
Dodoma
|
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina mara baada ya
kuwasili Ikulu Chamwino leo tarehe 09 Februari, 2022. |
|
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Ujumbe wa
Tanzania katika Mazungumzo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt.
Akinumwi Adesina aliyeambatana na Ujumbe wake Ikulu Chamwino leo tarehe 09
Februari, 2022. |