Home » » Rais Mhe. Samia azungumza na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina Ikulu Chamwino

Rais Mhe. Samia azungumza na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina Ikulu Chamwino

Written By CCMdijitali on Wednesday, February 9, 2022 | February 09, 2022

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika  (AfDB) Dkt. Akinwumi Adesina mara baada ya mazungumzo yao leo tarehe 09 Februari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinwumi Adesina pamoja na Ujumbe alioambatana nao  leo tarehe 09 Februari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link