Home » » WAZIRI MWIGULU NCHINI HISPANIA

WAZIRI MWIGULU NCHINI HISPANIA

Written By CCMdijitali on Friday, September 22, 2023 | September 22, 2023

 🇹🇿🇪🇸

 





Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb),

 

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), yuko Madrid, Hispania ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara, na Utalii wan chi hiyo, Bi. Xiana Mendez, ambapo Hispania imeonesha nia ya kushiriki katika mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kwa kutoa mkopo, dhamana ya mikopo na Bima kwa kampuni za nchi hiyo zitakazojenga reli hiyo kuanzia Makutopora hadi Mwanza na Kipande cha kuanzia Tabora - Kigoma hadi Malagarasi, kutokana na umuhimu wa mradi huo kwa maendeleo ya nchi.

Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link