Chongolo, ameahidi kwenda kusukuma serikali kupeleka haraka fedha za ujenzi wa Kituo Cha Afya na kuhakikisha ujenzi wa barabara inayopita Mlima Lyamba lya mfipa inayokwenda katika kata ya Muze Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga unaharakishwa.
![]() |
| Komredi Chongolo akiwa na Mwenyekiti wa Shina hilo, Salvatore Kasima. |
![]() |
| Sehemu ya wanachama na wapenzi wa CCM pamoja na wajumbe wa Shina hilo wakiwa katika kikao hicho. |




![]() |
| Mwenyekiti wa Shina Kasima akifungua kikao hicho. |
![]() |
| Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere akijitambulisha kwa wananchi. Kushoto ni Mkuu mpya wa Wilaya ya Sumbawanga, Nyakia Ally Chirukile. |
![]() |
| Katibu wa NEC Oganaizesheni CCM, Issa Haji Gavu akihutubia katika kikao hicho.Amewaahidi wanachama wa CCM wa eneo kuanza kupata kadi moya za kielektriniki. |
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA









