Na Shamimu Nyaki
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Palestina nchini Tanzania Mhe. Hamdi Mansour Abuali Oktoba 19, 2023 Jijini Dar es Salaam.
Katika kikao hicho, Mhe. Ndumbaro amepokea maombi ya nchi ya Palestina kupitia Balozi huyo, kuanzisha Kituo cha Michezo Jijini Dar es Salaam nakuahidi kulifanyia kazi mapema iwezekanavyo.
Mhe. Balozi Hamdi amewasilisha Ombi hilo akieleza kuwa nchi hiyo ina ushirikiano wa muda mrefu na Tanzania katika nyanja mbalimbali ikiwemo Utamaduni na Michezo, hivyo Kituo hicho kitakua na umuhimu kwa nchi mbili hizo katika kukuza michezo.
Home »
KITAIFA
,
MICHEZO NA BURUDANI
» TANZANIA YAPOKEA OMBI LA PALESTINA KUANZISHA KITUO CHA MICHEZO
TANZANIA YAPOKEA OMBI LA PALESTINA KUANZISHA KITUO CHA MICHEZO
Written By CCMdijitali on Thursday, October 19, 2023 | October 19, 2023
Related Articles
- TANZANIA KUWASILISHA OMBI CAF MATUMIZI YA MATANGAZO YA KISWAHILI
- UJENZI WA HOSTELI MALYA KUONGEZA UDAHILI WA WANACHUO
- WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ASISITIZA KUWATUMIA WACHEZAJI WENYE ASILI YA TANZANIA WALIO NJE YA NCHI, AAGIZA WIZARA HUSIKA ZIKUTANE
- DKT. NDUMBARO AIAGIZA MIKOA KUJIANDAA VYEMA MASHINDANO YA SAMIA TAIFA CUP
- MAKAMPUNI JITOKEZENI KUFADHILI VILABU VYA SOKA NCHINI
- KUWEPO KWA AMANI, MSHIKAMANO NA UTULIVU NCHINI KUMECHOCHEA KUKUWA KWA MAENDELEO KATIKA NYANJA ZOTE KIJAMII, KISIASA, KIUCHUMI NA KITEKNOLOJIA - MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR
Labels:
KITAIFA,
MICHEZO NA BURUDANI
Post a Comment