Home » , » WASIRA AZUNGUMZA NA BALOZI WA JAMHURI YA KOREA NCHINI.

WASIRA AZUNGUMZA NA BALOZI WA JAMHURI YA KOREA NCHINI.

Written By CCMdijitali on Tuesday, February 18, 2025 | February 18, 2025

  Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)

Ndg. Stephen M. Wasira amefanya mazungumzo na Mhe. Eunju Ahn, Balozi wa Jamhuri wa Korea Nchini,  tarehe 18/2/2025 katika Ofisi  ndogo ya  makao makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam. 

Katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamebadilishana mawazo katika namna mbalimbali yanayohusu ushirikiano wa nchi ya Tanzania na Korea.






 

Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link