Home » , » Mwenyekiti wa CCM taifa azindua baraza la ushauri la wazee wa CCM Mkoani Dodoma - Agosti 24,2013.

Mwenyekiti wa CCM taifa azindua baraza la ushauri la wazee wa CCM Mkoani Dodoma - Agosti 24,2013.

Written By CCMdijitali on Sunday, August 25, 2013 | August 25, 2013

 
Mwenyekiti wa CCM Taifa,Rais. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye viwanja vya Makao Makuu ya CCM Mkoani Dodoma- Agosti 24,2013.,tayari kwa ufunguzi wa baraza la ushauri la Wazee wa Chama,kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Taifa ndugu Abdulrahman Kinana na kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma ndugu Adam Kimbisa.

Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,akiwa pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi, na Makamu Mwenyekiti Bara Mstaafu John Samuel Malecela, kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana, Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Ndugu Benjamin William Mkapa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ndugu Aman Karume wakati wa uzinduzi wa Baraza la Ushauri la Wazee wa Chama.- Agosti 24,2013.

Wasanii wa Kundi la Kyela Beats wakitumbuiza wakati wa sherehe za kuzindua Baraza la Ushauri la Wazee wa CCM, - Agosti 24,2013.

Katibu wa CCM Taifa ,Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa salaam za utangulizi wakati wa uzinduzi wa Baraza la Ushauri la Wazee la CCM.- Agosti 24,2013.

Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wajumbe wa halmashauri kuu pamoja na wanachama wa CCM wakati wa uzinduzi wa Baraza la Ushauri la Wazee wa Chama.- Agosti 24,2013.



Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete akiwa pamoja na Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wastaafu wa Chama wanaounda Baraza la Ushauri la Wazee wa Chama.- Agosti 24,2013.

Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link