Home » » KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AWAPONGEZA CCM ILALA

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AWAPONGEZA CCM ILALA

Written By CCMdijitali on Saturday, January 10, 2015 | January 10, 2015


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokea kadi za waliokuwa wanachama wa Chadema ambao wameamua kujiunga na Chama Cha Mapinduzi.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Mussa Azzan Zungu mara baada ya kuwasili kwenye eneo la mkutano ambapo mkutano huo maalum ni wa kuwashukuru wapiga kura walioichagua CCM kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uiofanyika desemba 2015.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wajimbo la ilalal waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kuwashukuru wapiga kura wa Ilala kwa kuipigia CCM na kushinda kwa asilimia 75.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia kwa msisitizo ambapo aliwaambia watu kuwa muda wa CCM kulea lea watu umekwisha na taratibu za kimaaadili .

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa amezungukwa na wanafunzi wa vyuo vikuuu ambao wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi.
Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Mussa Azzan Zungu akihutubia wakazi wa Ilala kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Msimbazi Center,ambapo aliweza kuelezea kilio chao cha kuvunjiwa biashara na mgambo ni kilio chake na kuitaka serikali kuchukua hatua stahiki ili kuwapa fursa kuwa huru kufanya biashara bila kubughuziwa.











Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link