Home » » Balozi Seif Ali Iddi asema kwamba Watanzania Bara na Zanzibar wataendelea kushirikiana

Balozi Seif Ali Iddi asema kwamba Watanzania Bara na Zanzibar wataendelea kushirikiana

Written By CCMdijitali on Monday, April 6, 2015 | April 06, 2015

 Baadhi ya Viongozi na wanachama wa ujirani mwema kati ya Kata ta Mtoni Wilaya ya Temeka mkoa wa Dar es salaam na Wilaya ya Dimani Mkoa wa Magharibi Zanzibar.
 Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mtoni ambae pia ni Katibu Mwenezi wa Kata hiyo Wilaya ya bTemeke Mkoa wa Dar es salaam Ndugu Hija Makamba akielezea mafanikio yanayopatikana kutoka na ujirani mwema kati ya pande hizo mbili.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM  Balozi Seif Ali Iddi akizungumza katika mkutano wa ujirani mwema kati ya Kata ya Mtoni Wilaya ya Temeka na Wilaya ya Dimani hapo Tawi la CCM Kwerekwe B.

                                      Press Release:-


Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link