Home » » JOB NDUGAI NDIYE SPIKA MPYA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

JOB NDUGAI NDIYE SPIKA MPYA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Written By CCMdijitali on Tuesday, November 17, 2015 | November 17, 2015


Hatimaye Job Yustino Ndugai CCM amechaguliwa kuwa Spika 
wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa 
kuchaguliwa kwa kura 254 sawa na asilimia 70% ya kura zilizopigwa akifuatiwa  na mgombea wa 
CHADEMA Goodluck Ole Medeye ambaye 
amepata kura 109.

Hata hivyo wagombea hao ambao walikuwa 7 kati ya 8 
wameweza kutoa shukrani na pongezi kwa Ndugai 
wakisema anastahili na ndio maana akachaguliwa na 
kumtaka aongoze vyema bunge hilo.

 Job Ndugai ameibuka mshindi wa kiti cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupata kura 254 sawa na asilimia 70 ya kura zote ambapo jumla ya kura zilizopigwa ni 365

Matokeo ya kura za Spika.

A: Job Ndugai (CCM)- 254

B: Goodluck Ole Medeye (CHADEMA) - 109

C: Hashimu Rungwe (CHAUMA)- 0

D: Peter Sarungi (AFP) -0

E: Dkt Godfrey Malisa (CCK)- 0

F: Richard Lymo (T.L.P) -0

G: Robert Kisinini (DP) -0

Kura zilizoharibika ni 2

Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link