Home » » Mwenezi CCM Wilaya Arusha achanja mbuga Kata ya Sekei na Themi ziara ya "Kazi ya Kujenga Chama"

Mwenezi CCM Wilaya Arusha achanja mbuga Kata ya Sekei na Themi ziara ya "Kazi ya Kujenga Chama"

Written By CCMdijitali on Monday, April 25, 2016 | April 25, 2016

  • Awapongeza Viongozi wa Kata ya Sekei kwa ushindi walioupata katika Uchaguzi mdogo wa Wajumbe wa Serekali ya Mitaa ya Laurei na Sanawari

  • Ampongeza Bi Elinipa john kwa kushinda Mtaa wa Laurei


Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha Ndg Jasper Kishumbua,akimpongeza Bi Elinipa john kwa kushinda Mtaa wa Laurei kwa kuchaguliwa kuwa Mjumbe wa Serekali ya Mtaa,katika kikao cha Semina ya Kukijenga Chama Cha mapinduzi kilichofanyika katika Ofisi ya CCM Kata ya Sekei 24/04/2016
 Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha Ndg Jasper Kishumbua,katika picha ya pamoja na Viongozi wa Kata na Matawi ya Themi mara baada ya  kikao cha Semina ya Kukijenga Chama Cha Mapinduzi kilichofanyika katika Viwanja vya Taso Jijini Arusha 23/04/2016 Jumamosi
 Mwenyekiti wa  UVCCM Wilaya ya Arusha Ndg Martin Munisi,katika picha ya pamoja na Viongozi wa Kata na Matawi ya Themi mara baada ya kikao cha Semina ya Kukijenga Chama Cha Mapinduzi kilichofanyika katika Viwanja vya Taso Jijini Arusha 23/04/2016 Jumamosi


Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha Ndg Jasper Kishumbua,katika pichaakiagana  na baadhi ya Viongozi wa Kata na Matawi ya Themi mara baada ya kikao cha Semina ya Kukijenga Chama Cha Mapinduzi kilichofanyika katika Viwanja vya Taso Jijini Arusha 23/04/2016 Jumamosi
Picha zote na Idara ya Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha.
Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link