Home » » CCM Kata ya Osunyai,wahamasika na ziara ya Mwenezi wa Wilaya Arusha,na kumtaka arudi tena.

CCM Kata ya Osunyai,wahamasika na ziara ya Mwenezi wa Wilaya Arusha,na kumtaka arudi tena.

Written By CCMdijitali on Wednesday, May 4, 2016 | May 04, 2016

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arusha Ndg Wilfred Soileli ,akiongea katika semina ya Kazi ya Kujenga Chama inayofanywa na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha Ndg Jasper Kishumbua  katika Kata ya Sakina 03 Mei 2016
Katibu wa Siasa na Uenezi Wilaya ya Arusha Ndg Jasper Kishumbua akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika Ofisi za Chama kwenye muendelezo wa  ziara ya Kujenga Chama anayoifanya katika Kata zote 25 ndani ya Jiji la Arusha hii ikiwa ni siku ya 14 tangu aanze ziara hiyo anayotegemea kuhitimisha tarehe 22 Mei 2016


Katibu wa CCM Kata ya Osunyai,Bi Zubeda Abdalla akifanya mawasiliano na baadhi ya Wajumbe, kwenye muendelezo wa  ziara ya Kujenga Chama anayoifanya Katibu wa Siasa na Uenezi Wilaya ya Arusha Ndg Jasper Kishumbua  katika Kata zote 25 ndani ya Jiji la Arusha hii ikiwa ni siku ya 14 tangu aanze ziara hiyo anayotegemea kuhitimisha tarehe 22 Mei 2016

Mwenyekiti wa CCM Kata ya Osunyai,Ndg  Abd Madava akisaini daftari la mahudhurio mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Chama Kata ya Osunyai, kwenye muendelezo wa  ziara ya Kujenga Chama anayoifanya Katibu wa Siasa na Uenezi Wilaya ya Arusha Ndg Jasper Kishumbua  katika Kata zote 25 ndani ya Jiji la Arusha hii ikiwa ni siku ya 14 tangu aanze ziara hiyo anayotegemea kuhitimisha tarehe 22 Mei 2016







CCM hoyeeeeeeee............kama inavyoonekana kutoka kwa Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Arusha Ndg mussa Mkanga,wakati akipunga kwa Wajumbe wa Mkutano huo.

Picha zote na Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Wilaya ya Arusha ,Ndg Jasper Kishumbua

Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link