Home » » RAIS SAMIA AZURU KABURI LA HAYATI BABA WA TAIFA BUTIAMA.

RAIS SAMIA AZURU KABURI LA HAYATI BABA WA TAIFA BUTIAMA.

Written By CCMdijitali on Monday, February 7, 2022 | February 07, 2022

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ameongozana na mtoto wa Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Makongoro Nyerere

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ameongozana na mtoto wa Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Makongoro Nyerere mara baada ya kuwasili nyumbani kwa Hayati Baba wa Taifa  Butiama leo tarehe 07 Februari, 2022 kwa ajili ya kuzuru kaburi lake alipokuwa katika ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Mara.

Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link