Home » » RAIS SAMIA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WAKUU WA MKOA TANZANIA BARA.

RAIS SAMIA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WAKUU WA MKOA TANZANIA BARA.

Written By CCMdijitali on Wednesday, February 9, 2022 | February 09, 2022

Kikao Kazi cha Wakuu wa Mikoa Kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi.Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Wakuu wa Mikoa wa Tanzania Bara mara baada ya kuhitimisha Kikao Kazi cha  Wakuu wa Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi kilichofanyika  tarehe 8 Februari, 2022 katika Ukumbi wa  Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma. 

Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Wakuu wa Mikoa wa Tanzania Bara mara baada ya kuhitimisha Kikao Kazi cha  Wakuu wa Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi kilichofanyika  tarehe 8 Februari, 2022 katika Ukumbi wa  Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.    

Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link