Home » » WAZIRI BASHE AFANYA MAZUNGUMZO NA UONGOZI WA JUU WA BENKI YA NMB - DODOMA

WAZIRI BASHE AFANYA MAZUNGUMZO NA UONGOZI WA JUU WA BENKI YA NMB - DODOMA

Written By CCMdijitali on Wednesday, February 9, 2022 | February 09, 2022

 Waziri wa Kilimo,Mhe. Hussein Bashe, leo tarehe 9 Februari,2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa juu wa Benki ya NMB katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Wizara ya Kilimo Jijini Dodoma, mazungumzo yaliyojikita katika namna ya kushirikiana na Benki hiyo kukuza sekta ya Kilimo nchini.
Timu ya Benki ya NMB imeongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo Bi Ruth Zaipuna
National Bank of Tanzania
📸Waziri wa Kilimo,Mhe. Hussein Bashe (kushoto) na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo Bi Ruth Zaipuna

 

Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link