Home » » SPIKA TULIA ASHIRIKI KIKAO CHA PAMOJA CHA WAJUMBE WA KAMATI YA BAJETI YA BUNGE - DODOMA

SPIKA TULIA ASHIRIKI KIKAO CHA PAMOJA CHA WAJUMBE WA KAMATI YA BAJETI YA BUNGE - DODOMA

Written By CCMdijitali on Wednesday, February 9, 2022 | February 09, 2022

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akishiriki kikao cha pamoja cha wajumbe wa kamati ya Bajeti ya Bunge la Uganda, watendaji kutoka ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Uganda na Wenyeviti wa kamati za Bajeti, Hesabu za Serikali, Hesabu za Serikali za Mitaa na Uwekezaji wa Mitaji ya umma Bunge la Tanzania kilichofanyika leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

 


Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link