Home » » Waziri wa Afya Mhe. Ummy afanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Mfuko wa Rocke Feller

Waziri wa Afya Mhe. Ummy afanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Mfuko wa Rocke Feller

Written By CCMdijitali on Monday, October 24, 2022 | October 24, 2022

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Mfuko wa Rocke Feller katika Kukabiliana na UVIKO 19, Adrew Sweet na kujadili namna ya kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuimarisha huduma za kukabiliana na magonjwa ya mlipuko ikiwemo UVIKO 19 na Ebola pamoja na kuimarisha mifumo ya afya.

Mazungumzi hayo yamefanyika katika Ofisi ndogo za Wizara ya Afya zilizopo Jijini Dar es Salaam leo Oktoba 24, 2022.






@wizara_afyatz @ummymwalimu
Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link