Home » » MWAKILISHI WA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI ZANZIBAR AISHAURI SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

MWAKILISHI WA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI ZANZIBAR AISHAURI SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Written By CCMdijitali on Thursday, March 12, 2015 | March 12, 2015

Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani hapa Zanzibar Dr. Andermichael Ghirmay akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibnar Balozi Seif hapo Baraza la Wawakilishi Mbqweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

Kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dr. Saleh Mohammed Jidawi.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Kulia akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani { WHO } hapa Zanzibar Dr. Andemicheal Ghirmay ofisini kwake jengo la Baraza la Wawakilishi Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.

 Press Release:-

“ Mimi kama Mtaalamu wa Sekta ya Afya nimefarajika sana kuona mshikamano uliopo kati ya Wabunge na Wawakilishi kwa kushirikiana na wafanyabiashara pamoja na wananchi wao katika ujenzi wa vituo vya huduma za Afya katika Majimbo yao“. Alisema Dr. Andemichael Ghirmay.
“ Wizara ya Afya tumefanikiwa vyema katika kupambana na udhibiti wa maradhi ya Kichocho na maambukizi ya kuenea kwa virusi vya ukimwi hapa nchini kutokana na kuungwa mkono na wenzetu wa WHO “. Alisema Katibu Mkuu huyo wa Wizara ya Afya Zanzibar.

Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link