Home » » Balozi Seif Ali Iddi ajumuika na Watumishi na Wananchi wa Wilaya ya Magharibi”B” katika usafi wa mazingira

Balozi Seif Ali Iddi ajumuika na Watumishi na Wananchi wa Wilaya ya Magharibi”B” katika usafi wa mazingira

Written By CCMdijitali on Thursday, December 10, 2015 | December 10, 2015

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akijuika pamoja na Watumishi na Wananchi wa Wilaya ya Magharibi”B” katika usafi wa mazingira kwenye mtaro wa maji ya Mvua uliopo Kwa Kira karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kusherehekea maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanganyika Tarehe 9 Disemba. 



Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link