Home » » Prof. Makame Mbarawa akutana na Ujumbe kutoka nchini Mauritius.

Prof. Makame Mbarawa akutana na Ujumbe kutoka nchini Mauritius.

Written By CCMdijitali on Monday, December 5, 2016 | December 05, 2016

 Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Mauritius Bw. Santaram BABOO, akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wa Tanzania, Prof. Makame Mbarawa alipomtembelea ofisini kwake jijiin Dar es Salaam.

 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wa Tanzania, Prof. Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Mauritius Bw. Santaram BABOO, walipokutana kwa majadiliano  kuhusu ushirikiano baina ya Wizara zao, jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wa Tanzania, Prof. Makame Mbarawa (wa nne
kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe kutoka nchini Mauritius, wa pili kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa na Utamaduni wa Mauritius, Dkt.Nalimi LUCKHEENARAIN, na wa tatu kushoto ni Waziri wa Sanaa na Utamaduni wa Mauritius Bw. Santaram BABOO.


Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano


Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link