Home » » Rais Samia afanya kikao Kazi Cha Wakuu wa Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi

Rais Samia afanya kikao Kazi Cha Wakuu wa Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi

Written By CCMdijitali on Tuesday, February 8, 2022 | February 08, 2022

Kikao Kazi Cha Wakuu wa Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi leo ,8/2/2022 Dodoma. 

Mgeni Rasmi: Mhe Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 

📷Pichani ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi, Pwani Mhe. Abubakari Mussa Kunenge, Tabora Mhe. Balozi Dkt Batilda Buriani na Katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko.  #Kazi iendelee.



 




Share this article :
 
Support : #BegaKwaBegaNaMamaSamia | JAK | CCM Arusha
Copyright © 2011. CCM Dijitali - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Jasper K
Proudly powered by Blogger
Link