Home »
KITAIFA
» RAIS SAMIA ASHIRIKI KIKAO CHA KAZI NA WAKUU WA MIKOA
RAIS SAMIA ASHIRIKI KIKAO CHA KAZI NA WAKUU WA MIKOA
Rais
Mhe. Samia Suluhu Hassan, ashiriki katika Kikao Kazi cha Wakuu wa Mikoa
kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi nchini kilichofanyika Jijini Dodoma.
|
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Makamu wa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania
Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mikutano
wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma kwa ajili ya kuhudhuria Kikao Kazi cha Wakuu wa
Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi nchini leo tarehe 08 Februari, 2022.
Wengine katika picha ni Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa pamoja na Makamu wa
Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla
|
|
Wakuu wa Mikoa, Mawaziri
pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali wakiwa katika Kikao Kazi cha Wakuu
hao wa Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi kilichofanyika katika
ukumbi wa Mkutano wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma na
kuhudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 08 Februari,
2022.
|
|
Wakuu wa Mikoa, Mawaziri
pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali wakiwa katika Kikao Kazi cha Wakuu
hao wa Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi kilichofanyika katika
ukumbi wa Mkutano wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma na
kuhudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 08 Februari,
2022.
|
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Kikao cha Wakuu wa Mikoa kuhusu
Mfumo wa Anwani za Makazi kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano
wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma |
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wakuu wa Mikoa, Mawaziri
pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali wakati wa Kikao Kazi cha Wakuu wa
Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi kilichofanyika katika ukumbi wa Mkutano wa
Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma |
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wakuu wa Mikoa, Mawaziri
pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali wakati wa Kikao Kazi cha Wakuu wa
Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi kilichofanyika katika ukumbi wa Mkutano wa
Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma |
|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wakuu wa Mikoa, Mawaziri
pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali wakati wa Kikao Kazi cha Wakuu wa
Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani za Makazi kilichofanyika katika ukumbi wa Mkutano wa
Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma |
|
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishuhudia Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akipokea kwa niaba yake Bango lenye wa Anwani ya
Makazi ya Ofisi ya Rais, Ikulu mara baada ya kuzungumza katika Kikao Kazi cha Wakuu wa Mikoa kuhusu Mfumo wa Anwani
za Makazi kilichofanyika katika ukumbi wa Mkutano wa Jakaya Kikwete
Convention Centre Jijini Dodoma
|